Malipo ya Cristiano Ronaldo katika mkataba wake na Juventus: TZS bilioni 324 kwa miaka 4. TZS bilioni 81 kwa mwaka. TZS bilioni 6.75 kwa mwezi. TZS bilioni 1.6875 kwa wiki. TZS milioni 241 kwa siku. TZS milioni 10 kwa saa. TZS 167,000 kwa dakika. TZS 2,800 kwa sekunde.
Mwambieni waziri kuna mgogoro wa ardhi huku Uvikiuta ( Chamazi mpaka Kivule Magole) wananchi pamoja na anaejiita mmiliki Lugembana (aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma) mpaka sasa hakuna tamko rasmi la wizara kama wale wananchi ni wavamizi kweli ama wako kihalali na mipaka ni ipi ili wananchi tujue...
Habari wana jamii forum?
Nataka kumfungulia mke wangu biashara.. kwa mtaji wa milioni tatu (3,000,000/-) ni biashara gani naweza kumfungulia na ikaleta faida?
Naomba ushauri pls!
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.