Mwanajamii nadhani umeshajicommit kuwa majority-black ndo wanachukua nafasi za juu "Africa for Africans"(kwame nkrumah) hii ina kwenda mbali kuwa weusi ndio wana tambulisha uafrica so hao waarabu,wahindi, wazungu wachina na wengine...... kauli hapo kwenye quote inawasuta ndio maana wako...
Asante kwa kuweka wazi sign ambazo watu wengi kwnyjf walikuwa wakizitumia paspo kujua but cha msingi nijkum la kila mtu kuamua awe side ipi shika imani uliyonayo we kama ni non-mason sio issue hata km ukitumia symbol zao.
Harufu mbaya ni mbaya tu haipendeki ndio maana ikaitwa harufu mbaya ndio maana mtu hufunga pua,kwa yeyote anaye pendezwa na harufumbaya basi anamatatizo ya kiafya vilevile hii inatokana na uvivu wa kufikiri na kukosa ubunifu katika uandaaji wa vipindi.
Wanajf nimekuwa sijihusishi na mapenzi kwa muda wa miaka saba sasa,si kwa kupenda ila kutokana na machungu niliyo yapata.kwanza mpenzi wangu wa kwanza niliahidiana kufika naye mbali kimahusiano nilipoenda a-level nikakuta ameabort mimba ya mtu mwingine akanichiti nami nikashit.nilipata wa pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.