Wafanyabiashara wanapata changamoto kwenye hili, Kwa sababu unakuta yeye amenunua sugari Kwa bei kabla ya tamko ambayo ni kubwa ,kisha uwaambie wauze Kwa bei baada ya maelekezo ya serikali ambayo ni ya bei chini ,Hali ambayo inaleta hasara kwao .Hii aswaaswa inawakumba wafanyabiashara wadogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.