Mkuu ni kwamba ningependa kufahamu mazingira ya kazi ktk hii kampuni yakoje na ikiwezekana kujua kama inawajali wafanyakazi wake ama lah.Si unajua mambo ya private ni shiida.Pia wamiliki ni wabongo ama raia wa kigeni!
Ni kweli mkuu nyomi litakua la kutosha sababu ya location yenyewe tu.Pia kuna kitu kinanitatiza,wamenitumia email nihudhurie kwa post ya Accountant assistant II wakati tangazo alilonikumbusha hapo KAKA YAKO KAPITA lina Accountant II na Accounts Assistant,sielewi.
Jamani nimeitwa kwa interview Ijumaa hii inayokuja pale diomond jubilee hall, kwa post ya accountant assistant. Kwa aliye wahi hudhuria anipe dondoo please. Pia sikumbuki hata ni lini nili-apply ila nahisi mwaka umekatika, ni kitambo sana nilijua wameshanimwaga hivyo kama kuna mtu pia kaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.