Wana JF habari zenu?
Nina eneo langu lipo mabwe pande na lina ukubwa wa ekari 20.
katika kila ekari nategemea kutoa viwanja 5 vyenye ukubwa wa mita za mraba 600 ya ni upana mita 20 na urefu mita 30.
Kwahyo katika ekari 20 nategemea kuzalisha viwanja 100.
Michoro ya mipango miji ilishaandaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.