Heri yangu mie na familia yangu tuliohama huko kijichi, maana ilikuwa kero, kama huna generator au hujachimba kicma, ni majanga, kwa taabu niliyopata wakati naishi huko, sina ham ya kurudi, poleni sana
Itakua ni mazingaombwe, mana alisema akishika noti ya elfu 10, inabadilika 500 mkononi mwake, yani anaiona mpaka inakuwa 500 kutoka 10000, na ni pesa halali
Hata haijulikani ni nn, ila mzee alisema itakuwa ni ile mifuko yao, mana walimpa mfuko wa karatac akaweka zile pesa, na niliziona kwa macho yangu, ni 500 mpya kabisa na sio feki, nikamwambia ucchanganye na nyingine zisije zikabadilika zote, ila cha kushukuru ni alivyowapata, sasa sijajua hao...
Hii ilimtokea mme wangu, ye alienda kubadili dola 1000, akakutana na mzee akamwambia, hapo nyuma kuna Bureau de wanabadili kwa hela nzuri, kuna acyetaka hela nyingi? Mzee kaenda, kwenda wakaenda jengo lina ghorofa, wakaenda floor ya 3, wakakuta wamefunga, akaja mkaka mmoja akajifanya ni...
Habari wana jf, naombeni msaada wenu, nina mtoto wa miaka 4, alitoka vipele mwili mzima, kumpeleka hospital wakasema ni surua, amepewa dawa na amepona, sasa kaka yake wa miaka 6 naye ameanza kutoka vipele kama vya mwenzie, sasa nnachowauliza, je, watoto wa umri huo wanaweza kupata ugonjwa huo...
Hiyo ni kweli kabisa, mimi bibi yangu analia sana, maana mama yetu ndio alikuwa msaada mkubwa kwake, sasa hanaye tena, R I.P, hapa amebakia mjomba, mana walizaliwa wawili tu, lkn kumtunza mam yake ni shuhuli, haoni aibu kwa kuwa yupo peke yake, dada yake amemtoka, baba yake amemtoka, amebaki yy...
Mada nzuri kwa sisi wamama wa nyumbani mana nami ni mmoja wapo, watoto ukikaa nao nyumbani raha sana kwa jinc wanavyokuzoea, hata wakirudi kutoka shule, wa kwanza kuuliziwa ni mama, baba mida yake ni usiku, ikifika mida ya kwenda kulala, kama baba yao hajarudi ndio wanaanza kumuulizia, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.