Frem inapangishwa no dalali unaweza lipia miezi mitano kwanza. Ipo mtaa mzuri Tegeta Nyuki na ina parking yakutosha inafaa kwa biashara yoyote. Kuiona piga 0716070792. Bei yake laki na 50.
(150000)
Ukosefu wa ajira umekithiri nchini.
Na pale ajira inapopatikana basi inakuwa ni majanga zaidi. Najiuliza kama hawa EROLINK ni wakina nani wanalipwa mishahara ya wafanyakazi wao na kuwapa only 10% wafanyakazi na wanachukua asilimia 90 ya mshahara.
Jamani ubepari umevuka mipaka Tanzania. Kama...
Nyumba ya vyumba viwili,Kimoja master Sebule jiko na choo cha nje. Ipo ndani ya Geti
Shiling laki mbili na hamsini 2500000. Unalipa kwa miezi 9
Piga 0682699999.
Wahi kabla haijaingia mikononi mwa Dalali.
Natafuta Nyumba maeneo ya Kinondoni, Msasani, Kariakoo, Muhimbili na Postal.
Vyumba viwili vya kulala na Jiko zuri.Ikiwa Master Poa ila isipokuwa nayo pia Haina neno. Bei yangu ni Laki nne.
MALIPO KILA MWEZI.
Wanajamvi mimi ni mmoja wa watu niliyeamini kazi ni za kujuana tu. Napenda kuwashukuru watu wema wanaoweka matangazo humu. Siku ikifika imefika nimepata kazi nzuri sana kupitia JamiiForum. Mungu ibariki JamiiForum.
Ambao bado msikate tamaa omba tu hata ukiomba kazi kumi kwa siku.Nikisikia...
Jamani nimepata sms hiyo hasubuhi ya leo.Hivi sasa inakuaje inawezekana hiyo kazi kaitangaza Rachel mwenyewe sababu kapataje cv zetu????mi nlimrushia 10 ikagoma nkampigia hakupokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.