Tunaitamani KATIBA itakayoleta matumaini kwa wananchi wote itakayojenga mahaba kwa kila mwananchi.Lakini hali inavokwenda ni kinyume chake na hii inatokana na kukosa hoja za kitashi mpaka kunamshawishi mtu aliesoma na kuaminiwa kupewa Uongozi kuongea ndilo silo.Waisilmu na Waarabu inauhusiano...
Tatizo Watanzania tumezoeshwa kuishi kimaslahi tokea utotoni mpaka uzeeni sasa matatizo kama haya mazito yanakuwa magumu kuyachukuliya katika haki.Na muda unazidi kusonga mbele...........................
JAMANI NAOMBA MUNISAMEHE KWASABABU HUU MTANDAO UNANISUMBUA SIWEZI KUTUMA MAJIBU YOYOTE NA HII NAITUMA i HOPE ITAFIKA NA SIELEWI KWANINI.HAPO KTK HILO TANGAZO NIMEWAEKEENI NAMBA ZA SIMU ILI MUMPIGIE KWAKUWA YEYE NDIE MWENYE GARI.NA NIMEWASILIANA NAE LEO KUMWAMBIA HIZI OFFER ZENU NA KANIAMBIA...
jamani kwanza nawaomba samahani kwa kutoweka na hii imesababishwa na kukosa internet yani iligoma.sasa hata hivo nadhani niliwawekea namba zake hapo juu ili mjadiliane kuhusu bei kama mlisoma vizuri.ningewaomba mumpigie simu na nahisi anaweza kuchukua 5 milion na kama mtafanya fasta itakuwa...
Gari aina ya Toyota Vitz inauzwa ipo Dar na bei ni Tshs 5.5 milion.Mtanisamehe kwakuwa gari hii sio yangu ila namsaidia ndugu yangu kumtangazia kwa hiyo maelezo hajanipa mengi ila mtampata katika namba hizi kwa yule mwenye mahitaji nayo.0713182182 au 0684000760 atawapeni maelezo mengi zaidi na...
SHAMBA LINAUZWA
Shamba linauzwa lina heka 4 na bei Tshs milioni 4.Shamba lipo MKURANGA na lipo ktk eneo zuri na kuna bonde na upo mto mdogo unapita karibu na hapo ila halijalimwa kitu.Eneo ni zuri na kuna rutba nzuri sana kwa kupandisha mbaazi,matikiti,mihogo,migomba ya ndizi na vitu vingi hata...
SHAMBA LINAUZWA
Shamba linauzwa lina heka 4 na bei Tshs milioni 4.Shamba lipo MKURANGA na lipo ktk eneo zuri na kuna bonde na upo mto mdogo unapita karibu na hapo ila halijalimwa kitu.Eneo ni zuri na kuna rutba nzuri sana kwa kupandisha mbaazi,matikiti,mihogo,migomba ya ndizi na vitu vingi hata...
Nauza jiko kwa ajili ya kufanyia biashara ya bakery.Jiko hili lilitumika Uingereza na lipo katika hali nzuri kabisa na litaendelea kufanya kazi kwa miaka mingi tu.Vitu vyao hivi kiukweli ni madhubuti sana na sio feki unanunua na kukitumia kwa kuzalisha biashara yako kwa muda mrefu bila ya...
Watu kama nyinyi ndio mnaongoza kwa kuiangusha nchi kwa ubaguzi.Na pengine huna mchango wowote kwa Taifa.Tunawashukuru sana kwa msaada wao na mwenyezi mungu azidi kuwapa moyo wa huruma.
Ni ugonjwa wa ubinafsi tu ukipona basi utajiri utauona kwasababu kiuhalisia Africa ni tajiri kuliko hata bara la ulaya isipokuwa roho zetu za kimasikini na choyo ndio ukasababisha kaugonjwa ka "corruption"
Muuaji auliwe,anaemkata mkono nae akatwe,anaekata mguu nae akatwe.Waganga (wachawi,washirikina,wapiga ramli)wote wakamatwe na ipigwe marufuku kwa yeyote mwengine na tuishi kwa kumtegemea mungu muumba.Maana huu ni upumbavu na uonevu mkubwa wanaopata hawa watu.Hao waganga ama ndio wachawi tuwaite...
Kwani mwarabu bado anatawala mpaka sasa???
Sasa waliotawaliwa na wazungu mmeunda au kutengeneza nini mpaka sasa maana angalau hata hao waarabu wanajaribu kuwekeza kwa viwanda kama bakhesa?
Sijaona ukweli wowote katika mada hii isipokuwa upotoshaji wa kibaguzi ambao hautaisaidia taifa kokote...
Sipo tayari na vita na hata nikichochea vita nitakuwa siwatendei haki watanzania wote kwa ujumla kwani sina ubaguzi wa rangi wala dini kwasababu sivo nilivofunzwa ktk dini wala wazazi wangu.Na siwezi nikachochea vita wakati mimi mwenyewe sipo ndani ya nchi hilo pia litakuwa ni kosa kubwa sana...
Watu kama nyinyi ndio vishawishi wa kuvuuga amani katika nchi kwa kuona kwa jicho moja na sio kutumia macho yote mawili.Kama ulikuwa huna nasaha ya kupendeza na yenye amani zaidi bora ungenyamaza tu.Ni vizuri ujenge hoja yenye kulenga mada ambayo imeletwa kwa ajili ya amani na sio uchochezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.