Lakin mpaka eatu wapate madhara ndooo utawaona wakiandaa maeneo ya mabwepande na mengine kwa ajili ya wahanga na hawana mipango ya kunusuru yasitokeeeee kweli wapoooooooooo....................................................................
lakini haya yanasababishwa na ukosefu wa uwazi kwenye maswala ya maslah kwa watu wote ....Hatjui nin kilichowasib madoct na wao wameilamba sukari wakaishia kuguna na kutokuwa na msimamo lakin hatujui kama walim nao wanoandaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.