Chadema kuna maigizo wanaendelea, na wakiendelea kuigiza kuwa hawaoni hili tatizo la msingi, natabiri kuwa kabla ya mwaka 2025 "CHADEMA ITAGAWANYIKA", .....stay with me
Martin na Malcom:
Kisa cha hawa Nguli wa haki za raia weusi ni funzo kuu la "ideological alignment" katika siasa,
Martin...
Mh Rais, amesema mwenge uliowekwa katika daraja la Tanzanite uondolewe, na iwekwe alama ya Tanzanite,
Ukiachana na ukweli kwamba Mh Rais akiwa Makamu wa Rais aliona michoro ya daraja hili kabla halijaanza kujengwa, na mwenge ulikuwepo katika michoro, hivyo angeweza kutoa maoni yake na kuzuia...
uvivu wako wa kung'amua mambo usitupe kazi ya ziada ya kukusaidia
fanya kama hakuna hicho kitu then potezea tu mkuu, sababu hata ukielewa ukweli huna uelewa wa kutafsiri ukweli huo katika uchumi wa TZ zaidi ya kushabikia
Kuna utaratibu wa viongozi kutangaza mali zao
na utaratibu huo haujumuishi kiongozi kutangaza kuwa HANA MATANGAZO KWENYE KITUO CHAKE, au HANA UWEZO WA KULIPA MISHAHARA
Hizi statement mbili zinammanisha yafuatayo
1. Kiongozi anaomba wafanyabiashara na umma kwa ujumla wakatangaze katika chombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.