Si kweli ngoja aje kujibu,miaka hiyo hatukua na wigo mpana wa computer,swali langu liko hapo,mawasiliano ya hicho chombo na dunia yalifanyika vp na yanaendelea kwa namna gani?
Acha kuharibu biashara za watu,unaacha kusema mapapa kama club d na Mopao unaleta mdomo hapa,Ticha endelea kutupa buruda,alafu wew utakua kapub ka jirani.
Sio kimandolu tu, Lemala, daraja mbili na Uzunguni bara bara ya blue stone, kwa week mbili mfululizo wameuawa watu watatu kwa kuchomwa visu na tatu mzuka,bara bara za uzunguni uporaji hufanyika mchana, Sijaona jitihada kuwadhibiti, Mbaya zaidi wameanza kugusa wageni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.