Y
Roho zidanganyazo zipo kazin. Aliowamention hapo ni malaika walioasi na hao pamoja na majitu ambao ni uzao wa wana wa Mungu na binti za wanadamu. Hizo zote ni mamlaka tofautitofauti za giza na hazijahusika na uumbaji wa mwanadam bali nia yao ni kuangamiza humans. Kuna mama mmoja dolores...
Nilivyo elewa mie ni kwamba:
1: anateketeza nyenzo zikizotumika kumfikisha alipo.
2: japo anadhani yy ni mtu ila ana mkia na hawezi kuficha iyo reality.
3:majority ya wanaomzunguka ni wachafu kama nguruwe, sasa mlango umefunguliwa ili achague nguruwe wa kufanya nae kazi.
Dah..all...
Ivi umesoma ulichoandika?
Sasa kama watu ndio wanatengeneza mfumo iweje tena akipambana na watu mfumo ubakie the same?
Watu ndio hujenga/ kubomoa taasisi.
Umesema tatizo ni mfumo, ndio huo ambao rais anaufumua sasa au mfumo ulidhani ni sehemu au machine fulan? Mfumo ni Hao watu walivyojipanga ktk kadhulumu mali ya umma, so ww kama umeguswa na hii operation kajipange upya, it's a new dawn and new Era
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.