Kiasi fulani sasa nimeamini JK akiamua anaweza! Ombi langu kwa JK aonyeshe mfano kwa halmashauri ya manispaa ya Ilala kuna mada iliisha letwa humu JF juu ya ubadhilifu unao fanywa na meya wa manispaa hiyo kwanza kabisa lawama hizo ziuendee uongozi wa Manispaa hiyo mkurugenzi na timu yake niwatu...
Na cha kushangaza zaidi Meya anapo jibu hoja nyingi humu jamvini huwa anajibu mambo ambayo hayamuhusu(mambo ambayo anatakiwa ajibu mkurugenzi) mfano sakata alilolianzisha kwa Mhesimiwa Magufuri alidai mabango yakiondolewa mapato hayatapatikana ,mara ooh! kuna watu tutawapeleka mahakamani ,hivi...
Hapo uko sahihi mkuu lakini na hili la uholela wa Jiji ni la muhimu sana makampuni yote makubwa yamehamishia ofisi zao Kinondoni ambako angalau sehemu nyingi zinafikika City Centre wanakimbia foleni na misongamano isiyo maana wamebaki machinga tu na wenye ofisi za mfukoni kama muheshimiwa...
Sisi wapiga kura wake tumeisha listukia kitambo hivyo tunajipanga jinsi ya kumpiga chini huyu Zumbu kuku,ofosi ya kata ndiyo ameikimbia kabisa amepiga kambi mjini ili afanye madili yake tulimpigia kura ili asaidie kuboresha maendeleo ya jimbo kata yetu lakini amekimbia ameamishia ofisi yake...
Kwanza nawapa pole sana watumishi wote wa Manispaa ya Ilala kwakuingiliwa na hawa wanao jiita waheshimiwa maana kama ni ulafi basi ndiyo wamekubuhu maana wanashindana kuchukua miradi na sasa wana shindana kuchukua vyanzo vya mapato kwa kisingizio cha ubinafsishaji. watumishi ambao ndiyo...
Thubutuuu! manispaa ya Ilala ukijulikana tu we ni wa chama tofauti na CCM basi lazima wakutafutie zengwe utaamishwa tu! madiwani wenyewe wanao jidai ndiyo wenye manispaa yao wote ni chama tawala hapo CCm haikwepi hiyo lawama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.