wana JF mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili la maana na wanaushauri, ila tatizo la nililo nalo, ni kuwa topic hii imenigusa kwani tatizo kubwa na mpasuko mara kwa mara mimi na mke wangu wa ndoa ni hili la yeye kuvaa kitop na kikuku, na vimini....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.