Mwanakijiji ulipoleta bandiko lako kuhusu Dr. Slaa -Kwamba CDM ikae na Dr. Slaa ili kuridhia matakwa ya Dr. Slaa aliyoyaweka kuhusu kumpokea EL. Katika bandiko lile nilikueleza wazi kwamba wewe na genge lako huna nafasi ya ushawishi tena kwenye mbio za MABADILIKO. Tafuta njia nyingine ya...
Nachofahamu ni kwamba wananchi wamechoshwa na utawala mbovu wa ccm , so wanataka ccm iondoke madarakani. Mifano hai ipo kwenye majimbo ya ccm mwaka 2005,2010 ambayo watu walichoka na wagombea wakapigia upinzani bila kujali ni nani. Kama kuna anayefikiri ana ushawishi zaidi ya wananchi wenyewe...
Ninachojua MasterMind wa michezo yote ni EL mwenyewe, Hata kipindi EL anarudi nyuma kumpisha JK Rostam aligoma ili kwasababu EL ndiye MasterMind -Alikubali.
Inawezekana ni mbinu mbadala kwa EL kumwadaa Magufuli . Ila kwa upande mwingine wa shilingi inawezekana.
Pongezi sana mkuu mwanakijiji kwa bandiko lililojaa uchambuzi makini.
Huwa kuna maswali mengi sana najiuliza kwanini Mwanakijiji umekuwa na mtazamo chanya kwa Dr.Slaa zaidi ya CDM?
Haya ni mambo ambayo najiuliza sana bila kupata majibu-Napata na mashaka kuwa jitihada zako za kuwa...
Subutu yao!. Kama hawajui nguvu ya mwenyekiti kwenye vyama vyetu wakawaulize 'afulila,Zitto na Hamad Rashid...watakuwa wamejifukuzisha uaanachama wenyewe
Unahisi nini muda huu ambapo wale walikuwa wanakutusi kwa matusi yote mpaka ya nguoni na kukushambulia kwa kila namna ndio wamegeuka kuwa wafuasi wako!?. Naamini kabisa kuna mahala umeteleza japokuwa kuwa na msimamo tofauti na wenzako si dhambi.
Naamini kabisa kwenye hili si kutofautiana...
Hongera sana Mwandishi kwa bandiko lako refu; Pia nakupongeza kwa wewe kuwa mkazi wa Mtwara kwani uliyoyaandika yanajionyesha wazi kuwa wewe ni mwana Mtwara.
Kabla sijaanza kuchambua ulichokileta humu jamvini ningependa usome uzi huu...
Hapo zitto anapomuuliza Msando wala sishangai, kwa faida ya wanajamvi ni kwamba kipindi Lema amenyang´anywa ubunge kule Arusha Msando alikaririwa na watu wake wa karibu kuwa atagombea jimbo lile kwa kuwa Lema hangeruhusiwa kugombea tena . Huyu ni weakili ambapo alitakiwa kuonyesha ushirikiano...
Hujasoma vyema kilichoandikwa hapo juu ,huyo mama ni Boss wa mrajis ila hapo tunazungumzia sheria . Sheria hamtaji Katibu Mkuu inamtaja Registrar ambaye anateuliwa na Raisi tofauti na wakurugenzi wengine wa Idara ,hapa ni kwamba unachotaka kutuaminisha kuwa Katibu mkuu wizara ya fedha anaweza...
Halafu cha kushangaza anawasemea wanaushirika ili hali yeye si mshirika . Taarifa zilizopo wilayani kwake newala Hawataki kumsikia hata kidogo .Anatapatapa kwenye korido za wizara ya kilimo bila mafanikio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.