Mimi ni mke na mama wa watoto watatu. Nina miaka 11 katika ndoa na naomba nikushauri yafuatayo:
1. Mawasiliano kati yako wewe na yeye. Hizo kero za uchafu huenda katika mazingira aliyolelewa yeye wala hazimpi kero. Wewe ukiwa mume una nafasi ya kuzungumza nae na kumueleza unavyojisikia ukikuta...
Pole sana mkuu,Mungu akutie nguvu. Kupoteza mpendwa wako katika kifo ni maumivu makali sana. Uwe na imani kwamba Mungu atakufungulia milango. 1 wakorintho 15:26
Ungesikiliza kisa cha huyo mama usingemuhukumu hivyo. Huyo baba alipanga na familia yake kumdhulumu kila kitu huyo mama. Imagine mama mkwe ameenda kukaa chumbani kwa mwanae eti hatoki mpaka huyo mwanamke aondoke hawamtaki na mume anaunga mkono. Wanaungana mume,mdogo wa mume na mama mkwe kumpiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.