Habari wapendwa wote hapa jukwaani.
Najitokeza kutafuta mke wa maisha yangu. Natamani kuwa na familia bora yenye upendo na furaha. Familia bora huanza na mama bora, pamoja na majukumu thabiti ya baba kujali na kutunza / kuhudumia familia yake, bado nafasi ya mama bora kujenga umoja na upendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.