Habari wanabodi
Napenda nichukue fursa hii kumpongeza Mh. rais Kikwete kwa kufanya mabadiliko ya kumuondoa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Magnus Ulungi, na kumteua Kamishna mpya Sylvester Ambokile Mwakanyule.
Magnus Ulungi amshindwa kuuondoa mtandao wa kikabila ulioshikilia Idara hii nyeti. sasa ni...
Hayo unayosema kweli kabisa, vibabu vyenye vyeo vikubwa havitaki kufanya kazi zinazostahili kulingana na vyeo vyao, badala yake vimejazana makao makuu na uwanja wa ndege na border kubwa kama namanga vikiongoza kwa kuomba rushwa na kutia mifukoni nmapato ya serikali,
Uhamiaji ifanyiwe...
Magnus Ulungi alikuwa kama boya pale, ngoja aje huyo pengine ataondoa ule utando a wachaga waliojaa HQ kwa kujifanya wao ndio wamesoma peke yao na kwamba wengine elimu zao wazitumie Tandahimba, Kazulamimba, Nampembe na Chwaka
Poor Ulungi alikuwa amewekwa mfukoni na vilaza Shayo, Mongi Kishe & Co.
Boya kweli wewe, ungekemea ufisadi, unyanyasaji, dhulma, rushwa wizi na machafu mengine kama unavyokemea hapo nchi hii ingekuwa mbali, lakini magamba wote ni wizi
Naunga mkono tamko la JK kuwa wahamiaji haramu warudi kwao,
Mwenyekiti wa kijiji au mtendaji hana mamlaka ya kutoa hati ya ukaazi,
Mimi mwenyewe narudi home kusikilizia kwanza kisha kukipoa nitarudi kuendeleza maisha yangu, bongo kutamu bwana.....
CCM wamepagawa na mziki wa chadema sasa hivi wanatapeliwa sana yaani katibu wa wilaya kwao ni mtaji
mchunguzeni vizuri huyo tayari amewatapeli kwa kujifanya yeye ni katibu wa chadema, hilo gamba nani analitaka
kuhusu watu kutaka kadi za ccm, ni kweli watu wengi wanazitaka kwani kadi za ccm huwa...
vipi mlipata watu kweli?
mbona hujatuwekea picha ya wahudhuriaji kama kawaida yako?
au mliamblia patupu kama kawaida yenu?
ninavyoijua Hai bila ya watu kuwatoa Lock hamtapata mtu labda ije CDM
Mlipopanda Mabomu hivi mlitegemea kuvuna nini?
Damu ya watanzania wale haitapotea bure, lazima milipe hapa hapa duniani,
wazee wa makambi ya kufunza vijana ugaidi
Mkae chini mtafakari msaada mnaouhitaji kutoka polisi si msaada ni laana
watanzania wataendelea kuwakataa kwa siasa hizo,
sasa hivi...
kufaulu kwao isiwe sababu ya wao kuunda mtandao wa kupendeleana dhidi ya wengine, yaani kusiwe na double standard kyk maamuzi linapokuja suala la hatua dhidi ya watumishi,
pia kwanini wao kama ni wasomi wajipangie vituo vizuri kama JKNIA, KIA makao makuu, arusha, moshi, namanga, lakini...
:target::A S angry::cheer2::confused2::majani7::A S 100::becky::rofl::A S 103::smow::lever::clock:
:lever::brick::mvutaji::drum::pray2::behindsofa::clap2::tea::boxing:
:fencing::fencing::A S angry::doh::pop2::target::bathbaby::A S 41:
mkuu hao wengine wenye majina tofauti ni kwamba eidha kaolewa na mtu wa kabila lingine,
hivyo anatumia jina la mume la kabila lingine,
tena wengine ni wachaga wakiwa na majina ya makabila mengine yaani baba zao si wachaga,
yaani hata kama mama yako ni mchaga,
kikundi hiki/mtandao huu haumtupi...
Habari wanabodi!
Katika pita pita zangu mitandaoni, nimekutana na waraka huu maalum,
ulioandikwa na baadhi ya watumishi wa idara ya uhamiaji makao makuu
Dar es Salaam, kuelezea namna ukabila hususan uchaga ulivyokithiri ktk
idara hiyo,
naomba nisiwachoshe, pitieni wenyewe na mjionee namna...
zitto ni kirusi, akidhani yeye ni maarufu kuliko chama, basi anajidanganya, mwache aendelee kutumika tu, ataishia kama walivyoishia wakina khalid kabouru na tambwe hiza.
tofauti ya wassira na bulaya ni kwamba wasira yupo chama chenye kupigania wanyonge wakati bulaya yupo chama cha majambazi, hakuna conflict kwani mchuano ni cdm na ccm, bulayo angelijua mapema angejiondoa mapema magamba na kujijenga akiwa cdm, lakini tayari cdm kuna jembe ester wasira sasa...
kumbe polisi wanaweza fanyakazi bila msaada wa tume, RPC ameuwawa juzi, leo tunaambiwa watu 15 tayari wamekamatwa wala hawana haja ya kusubiri tume, mwangozi kauwawa na watu wanajulikana kwa majina na picha zipo wakati wakitekeleza unyama wao, eti aliekamatwa na mtu mmoja tu, kweli malipo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.