Habari waungwana,
Hivi ni sahihi kweli kinachofanywa na hii halmashauri ya Muheza, yani imeajiri watumishi halafu haiwapi stahiki zao kama pesa za kujijimu na hata mishahara yao.
Ndvyo utaratibu ulivyo ama ni uzembe tu wa wakuu pale ofisini. Watumishi wake wanahangaika tu hawana chochote...
Naomba mnijuze ipi mbegu iliyo bora yavitunguu katika kupanda wakuu, naje mwezi huu wa 9 ninaweza anza kuandaa kitalu kwajili ya kusia mbegu .naomben mawazo yenu
Ndugu mimi natumia id ya nsanzu, ila .ni,nimeingia wa Id ya jamaa yangu. Hebu nitafute tuzungumze nina imani hilo swala lako litaisha. Trust me. 0686907486, 0718265581
nikweli kabisa ushauri ulionipa niwamaana sana mheshimiwa, tangu nimefika nimekuwa nikijaribu kuzungukazunguka walau nipate lakn bdo cjafanikiwa .ninashukuru sana ubarikiwe sana
mheshiwa chuo ninachosoma ni chuo cha uongozi wamahakama lushoto.. ada nayotakiwa kulipa ni 405,500. semister inaanza tarehe 16 mwezi wa3 waungwana naombeni mnisaidie niweze malzia kozi yangu
Ingawa section 160 sub 2 LMA inarebat hii presamption mkuu na nicourt pekee inayoweza pressume kama kulikuwa naprissamtion ama hapana hata kama vigezo vyote vpo.though kuna shool of thought mbil znakinzana ambyo moja inazungumzia stil ndoa inaweza kuwa valid bila kujali hyo section nliyoitaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.