Mnaozungumzs kwa upande wa kukataa yawezekana hamjao na kuolewa. Lakini niwaambie tu ukiwa na pesa na ukishindwa kujiheshimu utaona kila kitu unaweza kufanya.
Ukweli ni kuwa yawezekana ameshakula secretary wote wanaomzunguka. Akawa anatafuta kitu kipya cha kujaribu.
Ofis ya Rais, ni taasis...
Wakati unatembea na huyo mzee hakuwa mkwe na mlishamalizana. Aendelee na taratibu za kuolewa na kijana wa huyo mzee ila asitembee na huyo mzee baada ya ndoa. Mana baada ya ndoa ndio itatambulika kuwa ndio mkwewe
Hachezi ki team work anakimbia kama kichaa tu. Anafikiri anacheza na coastal..kama shalulile qnalopwa pesa nyingi na shot on target ilikuwa 0..yeye ni nani?
- Unaposema unapata hedhi kila tarehe 2 hapo kunaukakasi kidogo. Cha msingi elewa mzunguko wako ni wa siku ngapi na sio kujua unapata hedhi kila tarehe ngapi.
- Ukielewa mzunguko wako ni wa muda gani. Pia elewa jambo kuu la msingi kuwa yai uharibika baada ya siku 14 baada ya kupevuka...
Mafuriko ya jangwani sehemu ambayo ni tambalale yanatutesa tangu nazaliwa mpaka sasa nazeeka then ndio tuje tujenge chini ya mlima. Tukipata akili ya kutumia ardhi tunayoiona ni hatari kwenye makaratasi lazima kizazi fulani kifutike choteee
Ila wengi wao wametumika sana. Akiwa na mavazi yake anavutia kwelikweli ila.ukimvua na kumkaribia ukiamza kumtomasa. Daaa mwili haujakaza upo kama papai bovu au parachichi lilogingwagongwa. Chuchu kwenye tshrt ni mchomo ila ukishika vidole vinakutana. Hakuna vile vitu vigumu vya wadada wa 80s,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.