Search results

  1. T

    ushirikiano au umoja wa Chadema na NCCR unakuwaje tishio kwa Waislam?u

    kwani nyie hamjui kuwa bkwata imegeuzwa kuwa ni tawi mojawapo la ccm..?
  2. T

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    jamani mimi ambalo linanikera ni tabia ya baadhi ya taasisis za elimu kutoza wanafunzi ada kwa pesa za kigeni especially dolla...hatujui nni kinaendelea pamoja na mwongozo ambao serikali ilishatoa lakini tabia hiyo bado inaendelea...mfano mzuri ni katika chuo cha uhifadhi wa wanyamapori mweka...
  3. T

    CHADEMA mtaji wenu ni helkopita!!!!

    jamani wacheni ushamba...helikopta ni chombo cha usafiri tuu....km gari....!
  4. T

    Nape amjibu Lowassa kuhusu Ajira...!

    ebu tusidanganyane...ajira zinapatikana kwa watoto wa vigogo tuu....ebu nendenei BOT mkajionee ni nani wapo huko....kutoa takwimu si kitu chochote.....tuangalieni hali halisi bwaaanaaa.............!
  5. T

    Sioi alitaka kujitoa kikao kikakataa

    kwani nyie kwanza mmesaau kwamba huyo wassira ndiye anashika number one kusiinzia bungeni......?
  6. T

    TBC1 bora muache kabisa kusoma MAGAZETI

    nilikwisha sema tbc ni tawi moja wapo la ccm.....nchi hii ilishaingia kwenye mfumo wa vyama vingi lakini hadi leo bado haijaukubali mfumo huoo.....1
  7. T

    Mkapa: Wapinzani ni wajinga na hawana adabu

    ...huyo mgombea wao mwenyewe alituhumiwa kwa rushwa kura za maoni halafu bila aibu yeye anakwenda kumnyanyua mikono...ndo yaleyale ye igunga,bariadi,monduli 2010..halafu wanasema ni watu safi....nani safi kweli maana hata yeye mwenyewe ni mtuhumiwa....yani ccm sasa hawana hata mtu mwenye mvuto...
  8. T

    Mkapa: Wapinzani ni wajinga na hawana adabu

    ...huyo mgombea wao mwenyewe alituhumiwa kwa rushwa kura za maoni halafu bila aibu yeye anakwenda kumnyanyua mikono...ndo yaleyale ye igunga,bariadi,monduli 2010..halafu wanasema ni watu safi....nani safi kweli maana hata yeye mwenyewe ni mtuhumiwa....yani ccm sasa hawana hata mtu mwenye mvuto...
  9. T

    TBC aibu tupu - Maigizo matupu

    Kwani wewe hufahamu kuwa hiyo tbc ni mojawapo ya tawi la ccm...pamoja na baazi ya magazeti yao....?
  10. T

    Kura za maoni CCM Arumeru kurudiwa

    huyo jamaa aliyeshinda sijui alitoka wapi....mtu hayupo kwny chama mara eti anashinda...haiwezekani kabisaaa.....!
  11. T

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huo ni mtambo wa volti elfu 40,ooo k.v bwanaa....hao hapo juu ni wafukuza upepo tuu..
  12. T

    Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

    mimi siungi mkono hilo ubunge ni kitu kidogo sana kwake.....!
Back
Top Bottom