Search results

  1. Fungameza

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Umepita mwaka mmoja sasa tangu marehemu Rais Magufuli alipoishutumu maabara ya taifa kwa kutoa majibu ya vipimo vya sampuli za mapapai, kware na mbuzi kuwa positive, kwa maana kwamba vitu hivyo vilionekana kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Tukio hili liliidhalilisha sana nchi yetu na...
  2. Fungameza

    RC Chalamila: Waziri Mkuu, Majaliwa kuanza ziara ya siku mbili Mkoani Mbeya, namshukuru Rais Magufuli kwa ujenzi wa Hospitali ya Rungwe

    Kifo cha Nabii Sulaiman Pamoja na utukufu na umadhubuti wa ufalme wake Nabii Sulaiman muda wake wa kuishi ulipokwisha aliondoka kama walivyoondoka Mitume,wafalme na wanaadamu wengine. Aidha, historia inatuonyesha kuwa kifo chake kilikuwa ndio mwanzo pia wa kuanguka kwa himaya kubwa aliyokuwa...
  3. Fungameza

    African leader taken ill, admitted to city hospital

    The steps the Tanzania is taking in combating COVID-19 don't seem to be fruitful.
  4. Fungameza

    African leader taken ill, admitted to city hospital

    While this is happening, the Ministry of Health is busy firing staff from the National Public Health Laboratory, the only Laboratory that is mandated to test coronavirus in the entire country. It has dished out letters to terminate contracts with most of employees in the laboratory who were...
  5. Fungameza

    African leader taken ill, admitted to city hospital

    My dear Tanzania! Where are you going!
  6. Fungameza

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Mimi Nadhani ingekuwa ni busara kuwalinganisha watu hao wawili kwa kulinganisha sifa zao kwa kutumia vigezo mbalimbali kama vile: 1. Uwezo wa kuchanganua mambo ya kiuchumi na kuwa na mtizamo wa uchumi wa kisasa unaoweza kukabiliana na changamoto mbalimbali kama vile mdororo wa uchumi wa dunia...
  7. Fungameza

    Mdahalo Shirikishi: Watanzania Waarab au Wahindi wako wapi kwenye uongozi wa taifa letu?

    Hapa nakubaliana na wewe, wengi wao (wahindi) wana uraia wa nchi zaidi ya moja na wengi wao ndoto zao huwa ni kutafuta pesa hapa kisha wanaenda zao Canada, Uingereza au Marekani. Hapa ni wapita njia tu.
  8. Fungameza

    Mdahalo Shirikishi: Watanzania Waarab au Wahindi wako wapi kwenye uongozi wa taifa letu?

    Mkuu mimi naona hii ni mada nzuri sana. Ni vizuri kufanya tathmini/utafiti isije ikawa kuna "systematic discrimination of racially minority groups". We should not just take it for granted that it happened naturally. Sometimes some minority groups are systematically discriminated and many people...
  9. Fungameza

    Mbinu za vurugu kwa jina la chama kingine

    Achana na dhana zisizo na mashiko lete facts bwana.
  10. Fungameza

    Mbinu za vurugu kwa jina la chama kingine

    {Inaonekana wazi kuwa Chama tawala zinatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa urusi. Unachoma nyumba yako ili mtu ajue ni adui yako. Hizi ni mbinu chafu.} Ushahidi upo? Kama upo mbona wanaotendewa hawaendi kwenye vyombo vya sheria?:hand: Tehe teh teh teh
Back
Top Bottom