Habarini wanajukwaa!
Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani.
Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara...
Habari zenu wanajukwaa!
Mie Ni kijana wa kitanzania.
Shida yangu nakuja kwenu kuomba Ajira mwenye kuweza kunisaidia iwe kwa kuniunganisha mahala nitashukuru.
Nina Hali mbaya mno ndugu mpaka inafikia hatua nakunywa uji nalala na familia yangu ya watoto wawili ,yaani mpaka nalia mbele ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.