Search results

  1. Mtuniwatu

    Shukrani kwa member aliyenisaidia

    Habarini wanajukwaa! Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa Tanzania. Kuna muda nilileta ama nilikuja hapa kuomba Msaada kwa mtu anayeweza kunisaidia kwa namna yoyote nipate kazi mkono uende kinywani. Nashukuru Kuna member mmoja alinisaidia na leo ndio siku nimepata malipo/mshahara...
  2. Mtuniwatu

    Naomba msaada wa ajira au connection

    Habari zenu wanajukwaa! Mie Ni kijana wa kitanzania. Shida yangu nakuja kwenu kuomba Ajira mwenye kuweza kunisaidia iwe kwa kuniunganisha mahala nitashukuru. Nina Hali mbaya mno ndugu mpaka inafikia hatua nakunywa uji nalala na familia yangu ya watoto wawili ,yaani mpaka nalia mbele ya...
Back
Top Bottom