Habari za jioni wana JF!
Akimnadi mgombea wa udiwani kata ya Nyampulunkano Bw.Emmanuel Mwaninis anawaambia kuwa Ngereja amesema kuwa lazima atashinda kwa namna yoyote ile,amesema Ngereka hana uwezo huo kwa namna yoyote ile,amesema waliweza kumtoa uwaziri hana jeuri tena! Ngereja na chama...
Heshima kwenu wakuu,
Nina mke na watoto wawili na ndoa yangu sasa inakaribia kufikisha miaka 6. Tulipooana tulikuwa tukiishi kwa amani na upendo lakini baada ya kupata mtoto wa pili hali ikabadilika gafla akawa jeuri, majibu ya mkato na kiburi, kila nikijaribu kumsihi na kukaa naye kujadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.