Search results

  1. P

    Jamii yetu imegoma kustaarabika, mfano mzuri ni msiba wa Lowassa

    Salute kwa Dokta Samiah Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa kuzungumza vizuri sana mzibani mwa Hayati Kipenzi cha Watanzania wengi Edo
  2. P

    Walinda legasi wa "shujaa" wamekula kiapo cha undugu? Watu wao hawana baya!

    Chuki hazijengi JPM atabaki mioyoni mwa Tanzania kama rais Bora kwa wakati wote
  3. P

    Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

    Nchi ikawa na watu wenye akili duni mfano wako hasara tupu soma kwa makini hoja za Kizalendo za Daktari Slaa
  4. P

    Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

    Nchi ikiwa na watu wenye akili duni mfano wako hasara tupu soma kwa makini hoja za Kizalendo za Daktari Slaa
  5. P

    DOKEZO Ngorongoro: OCD Peter Lusesa, awaweka ndani Wananch 17 wa kisangiro kwa siku 8 na kuwatesa, kwa kosa la kwenda Dodoma kuonana na Waziri Mabula

    Ingekuwa hoja kuhusu siasa ving'ora na vuvuzela vingepigwa vingi mno watu wanashindwa kutambua kuwa uhai ndiyo msingi wa yote hayo,jamani viongozi husika mbona hamsaidii watu hawa au kwa kuwa hao wahamiaji haramu wanatoa rushwa?
  6. P

    Tanzania ina mpango gani kujiunga na mtandao wa BRICS?

    Huelewi chochote juu ya diplomasia,swali langu kwako wakati nchi za magharibi zinatesa bara letu ya Afrika nchi ipi ilitusaidia Waafrika kupinga ukoloni?
  7. P

    Ubadhirifu wa Trilion 1.7 SGR: Luhaga Mpina ajibiwe kwa ufasaha

    Pumzika kwa amani JPM hakika uliitendea Tanzania haki enzi za uhai wako
  8. P

    Tanga: ACT Wazalendo yakiona cha moto, yawaondoa mawakala wake vituoni baada ya kura feki kujazwa

    Inawezekana wanaopingana kuhusu Mbowe kulipiwa nauli kwenda US wote ni wanachadema, kikubwa na muhimu Tanzania hakuna chama makini cha upinzani wote jaza tumbo
Back
Top Bottom