Naona huyo anacheza na elimu za watu. Je yeye analipa kodiiii kwa sadaka yake aipatayo?????????????? Kama sio anapunguza wigo wa kodi serikalini na ndo maana serikali inakosa pesa za kulipa wafanyakaz wake.......... Isitoshe madaktar wamesota bana miakaaaa ya masomo ndo kuwa professional
madaktar wanahak kwa wanacho kidai. yeye mchungaj mbona anaweka account no. bank, tigo na m-pesa akiomba pesa. na hajawah kuongoza ibada bila ya muda wa sadaka. jaman tuthamin nafas ya kila mtu na haki zake na sio kulaaaaaaaniiiiiiiiiii watu vibaya hata MUNGU HAPENDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.