musipoteze muda haya maazimio ni ya bunge lakini yamepatikana kutokana na maridhiano ya ccm na vyama vyote vya upizani, kwa hiyo hakuna jinsi yeyote ile ya kumtetea huyu mama, rais hawezi kata kutekeleza kwani ccm tayari imeshapitisha, hawezi tetea mwizi mmoja na kuharibu chama.
hivi wadau wa JF mumeshindwa kufikiri, ukiwa na jambo kubwa la kutatua au la kutolewa maamuzi lazima uwaone wajumbe wa cc ya xxx tawala na huyu mama ni mjumbe kwa hiyo hii ni corruption deal kwake kama mtoa maamuzi. mambo makubwa yote lazima yapelekwe kwenye cc.
huyu mama wizara imemshinda kabisa wala hana uwezo wa kuwa waziri kabisa, kwanza yeye mwenyewe ni kinara wa kuvamia maeneo ya wazi atawachukulia vipi hatua wezake?
ndugu wana jamii mimi najiuliza hivi huyu mama prof tangia ameteuliwa kuwa waziri wa ardhi kuna kitu chochote amefanya? hata huo mradi wa kigamboni, wezake waliupanga vizuri sana lakini yeye kaja na kuharibu kabisa. tharau zinampoza huyu prof uchwara.
mimi naamini hao mawaziri wote wameonewa tu, kuna bad performer wengi kwenye hii serikali. operation yeyote lazima iwena structure wakati wa kuundwa, hao watekelezaji walikuwa wanaripot kwa nani command centre ili kuwa wapi? ni ikulu au ni wapi? waziri mkuu alikuwa na nafasi gani katika...
sio lazima mtu awe prof. ndiyo useme anafaa kuwa waziri wapo watazania wengi wenye elimu za kati kama mzee mandela lakini ni wazalendo na ni vichwa kweli, kama kweli mh Rais anachagua mawaziri kwa uwezo wao kiutendaji hakuna jinsi Mama Tibaijuka anaweza hata kufikiriwa.
umesema kweli Bulesi huyu mama hana uwezo kabisa, wizara ya ardhi imemshida 100%, unhabitant uliza Nairobi waliokuwa wanafanya naye alichemsha kabisa, nasikitika tunataka kurekebisha mambo kumbe dio tunaharibu kabisa.
umesema kweli Bulesi huyu mama hana uwezo kabisa, wizara ya ardhi imemshida 100%, unhabitant uliza Nairobi waliokuwa wanafanya naye alichemsha kabisa, nasikitika tunataka kurekebisha mambo kumbe dio tunaharibu kabisa.
nasikitika wachangia mada wengi hawamfahamu huyu mwanamama vizuri, nivizuri kumfahamu mutu unaye taka kumwelezea, hata kuweka mategemeo kwake, kwanza huyu mama mwenyewe in mvamizi no 1 wa maeneo ya wazi. sasa atawezaje kusimamia kitu ambacho yeye mweyewe ni muhalifu, kiwanja chake no 413...
wewe tumbiri ni mpiga majungu mkubwa inaonekama mama nyoni alikubana sana hizo kende zako, sisi tunaangalia masilahi ya taifa na sio ya tumbiri na mafisadi wezake.
wewe ndiyo ulikuwa unaiba sasa umebanwa mbavu unaleta majungu serikali inafahamu kila kitu usipoteze muda bado mutashughulikiwa vizuri mpaka makamasi yatawatoka. nyakati za kuiba mchana zimekwisha, nyakati za mtumishi anakuwa na imprest za 200m bila kufanya retirement zimekwisha, habari ya...
wewe ndiyo ulikuwa unaiba sasa umebanwa mbavu unaleta majungu selikali ninafahamu kila kitu usipoteze muda bado mutashughulikiwa vizuri mpaka makamasi yatawatoka. nyakati za kuiba mchana zimekwisha, nyakati za mtumishi anakuwa na imprest za 200m bila kufanya retirement zimekwisha, habari ya...
tuache tabia ya kupenda na kushabikia mambo bila hata kuelewa kwa undani, kama mama nyoni hafai basi sithani kama kuna kiongozi ndani ya hii serikali anapaswa kubaki. (tuache tabia yakufurahiya matatizo ya watu wengine bila kujua hata ukweli) huu ni wivu wa hali ya juu, hatuwezi kwenda kokote...
yaliyo andikwa na mwandishi ni ukweli mtupu, ila tanzania ya leo msema kweli huna nafasi tena, huyu mama na wengi wanao fanya kazi ngumu ya kupambana na wezi nchi hii sasa hawana nafasi tena. aliwabana sana watu pale afya wanamchukia sana lakini kwa sababu ya masilahi yao na sio ya nchi. mimi...
ni ndoto lakini tunaomba iwe kweli hali ni mbaya sana, baadhi ya mawaziri hawajui hata wanatakiwa wafanye nini, jk anakazi kweli, wizara kama ya ardhi hakuna kinachoendelea, sana sana ni vitisho na majungu . watanzania wanataka uwajibikaji na sio kukomoana kwa makundi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.