Jana tumeshuhudia Stars ikishinda tena kwa mbinde goli 1 kwa sufuri dhidi ya Niger, huku Algeria akiifunga Uganda 2-1. Msimamo hadi sasa ukionesha Algeria akiongoza kundi na akiwa tayari kashafuzu fainali hizo hapo mwakani.
Mbio zimebaki kwa Tanzania anaeshika nafasi ya 2 kwa kuwa na points 7...
Kizingiti kingine kwa Arsenal ni leo dhidi ya Liver. Mechi hii kwa namna yoyote itamlazimu Arsenal kushinda nje na hapo nafasi kwake itazidi kuwa finyu. Ktk makaratasi game zilizobaki City anao uwezo wa kushinda zote kila timu uwezo wa kuipiga anao. Ili liko tofauti kwa Arsenal. Ambaye bado ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.