HIVYO JIZI KUU LA NCHI HII LINALOWABEBESHA MZIGO WATANZANIA HAMUMFAHAMU AU KWA KUWA ANAKUCHANGIENI KWENYE MATAMASHA, MAJIMBO, UNAPOFIKA NYAKATI ZA UCHAGUZI (CCM NA CDM) NA HATA MISIBA YENU, MBONA HAMUMTAJI ? KUDADADADEK... (wote nyie ndio haohao,ccm,cdm,cuf BABA MMOJA MAMA MMOJA. mmezidiana kete...
HIVYO JIZI KUU LA NCHI HII LINALOWABEBESHA MZIGO WATANZANIA HAMUMFAHAMU AU KWA KUWA ANAKUCHANGIENI KWENYE MATAMASHA, MAJIMBO, UNAPOFIKA NYAKATI ZA UCHAGUZI (CCM NA CDM) NA HATA MISIBA YENU, MBONA HAMUMTAJI ? KUDADADADEK... (wote nyie ndio haohao,ccm,cdm,cuf BABA MMOJA MAMA MMOJA. mmezidiana kete...
Mtemvu,Mnyika, Zungu,Iddi Azzan,Dr Faustin, Mdee,Mwaiposa kasoro Mahanga.
Tumechoka na vikao vyenu. Kama mna ukweli SI MUMSIMAMISHE Masaburi ?
Tata 30 teyari, menejimenti ya Simon Group Nyinyi kazi yenu Vikao tu,,,
Au mnataka mkatiwe (RUSHWA) ndio mnyamaze ?
Corcodio
Wabunge, Masaburi yaibuka tena upyaMSUGUANO kati ya wabunge wa Dar es Salaam na Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi, umeibuka upya baada ya wabunge hao kusema wamepata nyaraka mpya za tuhuma za ufisadi, ukiukwaji wa sheria katika suala la ubinafsishaji wa Shirika la Usafiri Dar es...
Re: Hoja ya Mkonge kuimaliza CCM Tanga - Zitto na Mnyika watikisa KorogweZitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo...
Inawezekana ni kweli hao wabunge wa kwenu ndio wanaofikiria MASABURI.
Na inaelekea hata nyinyi wapiga Kura wao mnatumia vitokavyo katika MASABURI yenu kwanza, ndio mwaenda kupiga Kura. Maana ndio Mungu kayaweka ktk vichwa vyenu.
Kumbe ukiwa unatoa misaada ndo kuwa mbunge makini!!
Hiyo ni moja tu ya kazi ya kinafsi ya mbunge,
Wahenga walisema UKILA NA KIPOFU USIMGUSE MKONO.
Hivyo posho yake ala na wana iringa, kuna ubaya ?
Milioni 50 gawanya vitanda 30 sawasawa na 1,666,666/65.
Duh vitanda hivyo ni ghali sana, wana Iringa vitunzeni na hayo ndiyo matunda ya Las Vegas.
Nakufagilia Rev.
Heeee....... Kumbe Si hasa ???????
Mwacheni afanye kazi, msijipendekeze kwake.
mara VIVA CDM, mara pipoz pawa!!!!!!! Inahusu nini ?
amehangaika yeye, katafuta mwenyewe, msijibehedue kwake.
Comarade, fanya kazi.!!!
BIG UP !
Nimefurahishwa na kazi hiyo.
Na hiyo ndio moja ya kazi za Kibunge, anunue, aombe au hata Kama katokea muhisani akamkabidhi nae akakabidhi kwa walengwa, basi hiyo ni faraja na mapenzi kwa Kiongozi Kama Mch Msigwa.
Wana JF, hivi ni Kigezo gani kitumike katika nchi yetu kuwapata Wah Mawaziri wenye Uchungu, Uzalendo, Uwezo na Uaminifu ili wawe nuru na faraja kwa Nchi na Wananchi wake kwa ujumla.
Maana ni miaka takriban 20 viongozi wetu wamekua ni Watu wa kuonewa huruma wao tu. (kujifanya kuwa ni viongozi...
Wakuu wangu naombeni kwa moyo mmoja kabisa mnisaidie kwenye hili,siku hizi hatupati zile tv za ITV na Star tv, na nyinginezo,tuinapata TBC na radio zao peke yake
sasa tumeonyeshwa huyu mkuu akiwa anahojiwa na baadhi ya watangazaji mahiri wa Tbc ambayo tunatazama bila kupenda!mkuu huyu alihojiwa...
Zambia wameweza, sisi tunasubiri nini?
Tukiendelea na CCM tutabaki kua wasindikizaji katika soka. Hongera SATTA hayo ni mafanikio ktk mwaka wako wa kwanza wa uongozi:smash: :shock:
Hamuwezi...... Ng'oooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.