Bahati mbaya natoka kwenye familia duni, mpaka kumaliza hiyo degree mungu ndo ajuaye nlopitia, kwa hiyo hata hilo halitawezekana mpaka ntakapojiweza mwenyewe.
Heshima wakuu. Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu natafuta nafasi ya kazi au ya kuvolunteer. Ni msichana, nipo Dar. Kwa anayeweza kunisaidia aniPM tafadhali. Shukrani sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.