Nashukuru umewaeleza wazi kuwa ni kweli jana ulisema kuwa hupingi suala la maslahi zaidi kwa wabunge , ila tatizo ni hayo masilahi kuitwa posho.
kwa hiyo unaeleza nini hapo kuwa ni sisi wabunge tuu ndio maisha yamepanda ?
Nimelazimika kurejea baada ya kuona kuna watu wanapotosha hoja yangu,
Hivi Shibuda si alisema posho iwe milioni kumi na mbili kama Zitto wakamtishia kumwondoa hata ubunge?
Shibuda alisema isiitwe posho bali ujira wa Mwiha , si alishitakiw kwenye kamati kuu ya chama chao?
Sasa tofauti ya Zitto...
Hivi unajua kuwa Mbunge analipwa shilingi milioni 2.5 kwa ajili ya mafuta kwa mwezi na maana yake ni kuwa kila siku anapewa shilingi 83,333 sawa na lita 37.87 kwa bei ya shilingi 2,200 kwa lita , hata siku ambazo tunakaa Dodoma?
Kuna haja gani ya Mbunge wa Viti maalum kupewa hizo fedha wakati...
msimamo wangu upo hapo juu kwani nimesema wengine kutokana na sababu mbalimbali hatuwezi kusema hadharani , ila tunawaunga mkono wenye uwezo wa kusema .
Mimi hata kama hakutakuwa na posho nina uwezo wa kuendelea kuishi kutokana na pension yangu ni nzuri tuu kwa wastani wa maisha ya kitanzania .
Birigita, kwa taarifa yako nimelitumikia hili taifa kwa muda mrefu sana ,nimesema nasikitikia taifa langu kwani wale vijana niliowadhania kumbe sio , Kama unaheshimu waliokuzidi kidogo kwa lolote acha matusi jibu hoja ama kosoa kwa staha kidogo.
Binafsi nilikuwa namwona kama nuru miongoni mwa vijana viongozi wa kisiasa nchini ,ila tangu jana nimesema ntakuwa namsikiliza kwa masikio mawili na kumtizama kwa macho mawili , nitapima kauli zake kwa kina sana .
hii ni sehemu ya gazeti la Mwananchi leo,
JK abariki posho mpya za wabunge
Send to a friend
Monday, 30 January 2012 20:54
0diggsdigg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
KILA MMOJA KULIPWA 330,000 KWA SIKU, ZITTO, MAKAMBA, KIGWANGALA WASULUBISHWA KWA KUZIPINGA
Waandishi Wetu, Dodoma...
Zitto ni mnafiki hakuna anachotetea , ila anatafuta hoja za kuugilibu umma wa watanzania ,huku akiwa kwenye vikao ni unafiki mtupu anaendekeza , nimeamua kuweka wazi hapa na kama anabisha aeleze kwenye press yake anayotegemea kuifanya leo nini alisema kwenye kikao.
Tatizo kuna watu mnashambulia bila kujua mantiki ya hoja yangu, soma gazeti la Mwananchi la leo utaona kifungu walichomnukuu Zitto akisema kuwa tatizo wabunge they think small...... hapo hapo anasema kuwa walipaswa kujenga hoja kuwa nishati ya mafuta imepanda bei na hivyo ndio iwe sababu ya...
Jana nimeisikitikia sana nchi yangu Tanzania, na haswa kwa kuwa na kizazi cha viongozi vijana ambao nilikuwa naona kama wangeliweza kuja kulisaidia hili taifa hapo siku zijazo , lakini nimegundua kuwa kumbe ni wanafiki. Naomba kurudia ni wanafiki.
Hawa ni kijana Zitto Kabwe ambaye kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.