Hodi wana Jamvi na watanzania wenzangu,
Imelanilazimu kandika humu ili kutoa mtazamo wangu kuhusu yanatokea katika jamii yetu hasa kuhusiana na uhalifu na wahalifu panya road wakiwa ni sehemu tu wengi au ya makundi ya jinsi hiyo.
Nakiri kuwa sina uelewa mpana sana wa mambo ya kiinteligensia...
Wadau wa jamvini Habari. Natamani kununua shamba Moshi, maeneo ya kuanzia Machine Tools mpaka Uchira. Eneo linalofaa kwa kuishi na kilimo/Ufugaji minimum ekari 2. Umbali wa kutoka huduma za maji na barabara uzingatiwe ikiwezekana.
Mwenye tetesi awasiane kwa 0754480 513 / mahomamat@gmail.com...
Nilishindwa ku upload recent photos ila imesogea zaidi ya hapo. Ukifika utaipenda hata kama hutaki kununua. Wakati mwingine huitaji kuwa fisadi wako watu wamebarikiwa na Mungu kwa juhudi za haki unaweza kuwa wewe ukainunua Mkuu. Karibu
Generator ndogo inauzwa DSM
Aina: Apollo, AP3900 DXE, HP 5.5, Japan Technology.
Hali yake: Jino moja tu inawaka. Ni kama mpya.
Uwashaji: Inatumia Betri (Imekufa) na kamba ya kuvuta.
Matumizi: Ina uwezo wa kuwasha fridge, pass, blender na taa bila shida.
Mafuta: Petrol na tank lina uwezo...
Mtu mmoja kasema waandishi wawe na msimamo ila kama sio wa akina '' ULI". Mimi nachelea kwani mimi ni mmoja wa akina ULI, kuna mahali hawa jamaa wa media hawakutendea haki. Baadhi yao walikuwa wanaripoti tofauti na hali halisi, ama kwa "kutumiwa" au kwa kutofahamu. Sasa hili linawahusu wao. None...
Usishangae ndugu, kama uliwahi kuhonga vocha ya buku au buku ten na hukufeel maumivu ndo hivyo wenzio wanahonga magari na nyumba na hawana maumivu kwani wananzo za kutosha. Cha ajabu tu ni kwamba wana ndugu zao wahitaji ile mbaya huko vijijini lakini wagumu kweli kutoa msaada. We unafikiri kama...
Ni Mtazamo wako japo sio sahihi. Sisi kama senior tulibaki ku-cover dharura kwani umesikia juniors wakilalamika kuwa sisi mafisadi. Tumewapa wananchi heshima ghafla tumukuwa mafisadi? Poor you ?????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!................
Wana JF ni kweli mimi ni mmoja wao na ndo msimamo wetu kwa sasa lengo ni kuona jambo lini linapewa kipaumbele stahiki kwani ni mwezi tangu sakata hili lianze. Wagonjwa wameteseka na wanaendelea kuteseka. Nilisikia kulengwa na machozi wakati uhamuzi huu unatoka lakini pengine ndo njia pekee...
Kurudi kazini na kufanya kazi ni vitu viwili tofauti. Ni watu wanagapi tunawasikia kuwa wanafika ofisini wanawasha computer na kusoma magazeti lakini hakuna kazi waifanyayo hata some government officials wanajua hata wewe unajua pia.
Ni sawa na kumlazimisha mtoto shambani aendelee kupanda mbegu...
Wana JF nashukuru kwa mchango wenu kuhusu sakata la watoa huduma wa afya na Serikali. Mimi kama mmoja kama mhusika, napenda kutoa hoja kwamba wachangiaji wengi pamoja na uhuru wao wa mawazo, sina shaka wengi wao/wenu hawako informed ni nini kiini cha madai haa na hatua zilizochukuliwa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.