Una uhakika kama ni mgonga nyundo?.....hata kama mgonga nyundo shida ipo wapi? Mpigwa mpini amekubali tena ameenda shule vizuri anajua anachohitaji.....
Dah umeongea jambo la msingi sana wakati nipo kwenye ubora wangu nilibahatika kuwapitia hao madada wa mjini baada ya hapo nikaoa nimetulia tuli na familia yangu.
Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) limefanya mabadiliko kwenye mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kwa kuondoa machaguo ya majibu kwenye somo la hisabati kuanzia mitihani ya mwaka huu.
Pia wanatarajia kufanya mabadiliko kama haya kwa ngazi ya sekondari kwenye masomo ya Fizikia, Kiingereza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.