aisee jamaa unaakili sana! yaani kweli serikali ndio mbinu wanajaribu kutumia ili wananchi tuamini kuwa utekaji wa Dr. ULI ulitokana na wananchi1! Hawatupati ngooooo!
Kitendo alichofaniywa ulimboka na Mungu kumponya ni kielelezo tosha kwamba Mungu amechoshwa na madhambi ya serikali yetu sasa ameamua yeye mwenyewe kujionyesha. Wana jamvini ukweli ni kwamba kwa mateso aliyoyapata Dr. Uli katika hali ya kawaida ilikuwa si rahisi kupona! lakini tujiulinze ni...
Jamani mie naona pia tufikirie sana kiundani; inawezekana pia kuna uwezekano wa Dr. Deo kuhusika na vitendo vya unyama alivyofanyiwa Dr. Ulimboka. tafadhali hebu tulitafakari hili kwa undani! mimi nafikiri baada ya watekaji kugundua kuwa Dr. Uli hajafa ndipo ikabidi kuwaficha wale ambao...
Mungu wetu aliye mwaminifu akutangulie katika safari yako, na neema yake ya uponyaji ikawe juu yako!
Upanga wake ukawe juu ya wale waliotenda yale ambayo yapo kinyume na mapenzi yake!
Kuuwa ni kazi yake mola! si vyema kuingilia kazi ya Mungu!
Get well soon Dr. Ulimboka.
Nini maana ya kufanya re-submition? ni uchizi na kwamba hata huyo mama si mtendaji! yaani kamati itakuwa inafanya kazi ya kure-submit everyday! shame mama makinda hebu tafadhali jiheshimu na waheshimu pia watanzania! mama tunauchungu sana nawe jinsi ambavyo unawanyima wabunge wetu haki zakusema...
Wadau naomba kuwapongeza sana kwa hoja nzuri! kweli nimeamini kuwa tuna wananchi makini sana ndani ya CDM. kumbe CCM walikuwa wanavifunika vipaji vyetu! Wazo la mdau hapo juu ni la msingi sana! Tuna TV za kutosha, nakutokana na ushindi wa arumeru sisi kama wanachadema wote tumejewa na furaha...
Mimi naamini kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kumchagua EL,aliyotufanyia yanatosha na kama hao ambao wanataka kumchagua wananufaika wao wenyewe badala ya watanzania wote basi mkae mkijuwa mwisho wenu utafika tuuu. Na Ikatotea wamemchagua basi tutajuwa kuwa Tanzania yetu ina vichaa wengi.
Hapo ndipo utakavyo ona baadhi ya wanasiasa wetu walivyowabinafsi! yeye anajali wapiga kura wake tu! sasa JK alitakiwa kuwajuwa watu kama hawa mapema ili asiwape hayo madaraka yaani kuwa waziri! OMBI: Wadau wenzangu mimi ni mwana CCM lakini ninachowaomba tuungane paoja kuhakikisha tunathubutu...
Itapendeza sana kama Dr. Nkya na Dr. Mponda wakajiuzulu wao wenyewe ili kuhakikisha heshima zao zinabaki pale pale kuliko haya ambayo yanaendelea! Unajuwa ukiona hivi ujuwe watu wamechoka nao! Sasa mimi kinanishangaza sana kuona bado wanangangania hivyo vyeo. Kwa kweli nadhani kwa sasa wanaishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.