Asante sana mkuu.. yaani kila kitu ulichoongea nakiona kinafanana na maisha tulonayo..sijui nifanyeje maana tumeishi miaka mitano na tayari tuna watoto wawili wazuri kwelikweli. Hatujafunga ndoa kila tukipanga linatokea jambo la kuahirisha. Sijui nifanyeje
Mramba hatakaa jela muda mrefu,mtaona anapata msamaha mwezi 12 au wa 4 mwakani! Kesi ya biliones of hela mtu anafungwa miaka 3 na kifaini cha milioni5.. Hii ndo Tz jamani. Nchi nyingine nadhani wangeozea jela
Ninayo van, engine 3L naitumia mwenyewe, namba ni A imetembea km 142,670, Rangi iliyokuja nayo, sijaweka siti. Ni manual transmition..Kama vipi tufanye biashara
Habari zenu wandugu..mimi nimefungua kashughuli ka duka la reja reja. kwa kua nimekua ni mtu wa kutoka mara kwa mara nataka niajiri mtu kwa mkataba mdogo ili walau niweke mazingira ya ulinzi wa haka kaduka. Mwenye kuelewa naomba anisaidie japo hata kwa mfano mdogo.
Pamoja na hujuma zote alizofanya mwigulu kujaribu kuvuruga mkutano wa chadema ambao kimsingi ulikua wa maana sana kwa wananchi wa jimbo lake (iramba magharibi)...amejiaibisha mno na kujishusha kisiasa sana. wananchi wamehudhuria mkutano na bado baadhi wamekwenda kuangalia mechi ya bure kati ya...
Wabari zenu wandugu
Waomba kusaidiwa namna ya kujenga swimming pool,huku ninapoishi hakuna wataalam. Mwenye kuelewa kuhusu ili naomba msaada wake tafadhali. Nawasilisha!
Write something...
TANURU LA FIKRA
RECENT POSTS
Mwigulu Nchemba
CHADEMA WALIPANGA NA KUTEKELEZA MAUAJI YA RAIA WASIO NA HATIA YALIOTOKEA NDAGO NA MOROGORO. WALIPANGA KUMUUA MUSA TESHA WA IGUNGA KWA KIPIGO NA TINDIKALI ILA MUNGU AKAMSAIDIA AKAPONA. MIPANGO HII ILIFANYWA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.