Sisi bado tupo kwenye usingizi wa PONO,na anayejitahidi kutuamsha tunamwona ni ADUI! Jamani sasa tutumie akili, maarifa, hekima na busara katika ujenzi wa Taifa letu changa lililobarikiwa na Mungu, kuanzia Rasilimali, hali ya hewa n.k. Tuache ushabiki wa kisiasa usiokuwa na maana yoyote ile...
Hongera Mheshimiwa JPM. Sasa Mafisadi matumbo yao yanatokota sijui wataponea wapi, wawaishwe kwenye vyombo vya sheria kabla hawajafa kwa shinikizo la damu. Sasa naanza kuelewa kwamba una nia ya dhati ya kuirudisha nchi hii kwenye Nidhamu. Ningeshauri lifunguliwe gereza maalum la mafisadi ambako...
Ile tume iliyoapishwa juzi na Mh.Raisi itafufua yote yaliyofichika likiwamo la Mgodi wa Buzwagi. Mafisadi wote waliohusika katika ufisadi wa madini na mjkataba yake mibovu ikiwamo na kufunguliwa akaunti za ferha NONO nje ya nchi waanze kujiandaa kwa vifungo virefu magerezani, na pengine wengi...
Hii Post ni mchosho mtupu haieleweki, ndio maana vilaza wanaondolewa kwenye hilo shirika. Kama hata kuwasilisha ujumbe unakushinda, sasa hilo shirika simnaliendesha kwa hasara! Au ni "Business as Usual?":p:p:p:p:p:p:p:p:p
Wale waliofanya njama za Bwana Yule akihujumu CUF naona wataathirika muda sio mrefu kwani kuna kila dalili kwamba hakuna support kutoka kwa MKUU na si ajabu tukasikia baadhi yao wamewajibishwa. Awamu hii imeonyesha hakuna tena cha huyu ni Mwenzetu! Tafakari....
Kwa hakika hakuna! Chama kipo kwenye mabadiliko makubwa (Reformation), pia kipo kwenye Mpito (Transition), wenye thamani watakuwa kizazi kipya sio wakongwe! Kazi Kwenu Wana-CCM, mlizoea kujifanyia mambo mtakavyo, sasa kaja mwenyewe, tulifunga na kuomba apatikane kiongozi atakayekomesha kiburi...
Ni kweli Dalili zimeshaanza kuonekana, busara isipotumika chama hicho kitakuwa kama mti wa mwembe wenye maembe unaotikiswa na tembo, Je, unadhani kuna embe lolote litakalobakia mtini? Chukulia pia mfano wa chama cha KANU nchini Kenya kilivyokimbiwa enzi za Raisi Mtukufu Daniel Arap Moi na...
Tunataka Mchakato wa Katiba Mpya uendelee na yawekwe masuala yote wananchi waliyoyapendekeza na isiwe Katiba yenye maslahi kwa watawala. Mchakato mpya ukianza tunataka wahumbe wa Katiba Mpya wachaguliwe kwa usawa na sio kujaza wajumbe wa Chama kimoja tu cha siasa, hii itakuwa ni KIINI MACHO!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.