Nashkuru kwa maoni yenu yote ni katika kujifunza, lakini kumbukeni aulizae si mjinga ila anataka kujua haijalishi swali limekaaje ilimradi lime eleweka, nikweli kwamba nimekwisha muliza lakini nae hajui chimbuko lake latoka wapi, anacho jua ni kwamba babu zake walitokeaga mwanza na aliambiwa...
Hayo ni mambo makubwa sana, lakini me naona kunajambo ambalo mdada kalipata ao kutoka kwa marafiki zake ao kalifikiria tu mwenyewe, pengine wazo kuu ni lile la kumwondoa mmewe ili arithi mali zote.
swala la adhabu huyo baba kafanya uamuzi wa busara sana tena ni wa kibinadam zaidi, haja taka...
Hii! kwa wote,
Nimepata mchumba wa kabila la wazinza,
Nawaombeni kwa wale wanao lifahamu kabila hili la wazinza, je wanawake wa kizinza
mila zao zikoje? tabia zao kijami na pia kiunyumba zimeka vipi? wanapendelea nini?
pia naombeni ushauri wenu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.