Naanza na SAGAI GALGANO na mwingine ni maarufu ila nimemsahau jina na leo kabla ya mechi alitutia mno joto wana Yanga SC hapa jamiiforums kwa threads zake za mikwara mbuzi.
Hii ndiyo Yanga SC bwana na bado.
hakuna kama yanga fc tanzania na afrika hii. ukiichukia yanga fc utakuwa na pepo. sijutii kuishabikia yanga fc na nitaendelea kuishabikia daima hasa hasa jamvini jamiiforums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.