hiyo clip unawezza kuweka connection na mtu yeyote.Lwakatare ni mtu wa ulinzi wa chadema.huenda alikuwa anatuma afuatiliwe mwanachama wake ambaye anaonekana ni kigeu geu.bila ushahidi mwingine itakuwa ngumu kumsukumia moja kwa moja.duniani watu wana tail(fuatilia) watu.hiyo ni kawaida.Dunia...
iko iv.hata. wakishinda baada ya kukata rufaa.Kuna ukweli kwamba..Lema anakubalika.kodi itateketea pale arusha mjini.alishinda uchaguzi wa 2010. sasa hata chadema waweke jiwe ,wale jamaa zangu pande zile watachagua jiwe..pale ni pagumu.yaishe.wasitukamue hio ela ya uchaguzi afu wakapata aibu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.