Mimi naomba wansheria wanisaidie, hivi chama ambacho kipo Kisheria hakiwezi kujiongoza kwa katiba yake? Mahakama ina mamlaka gani kung'ang'aniza mtu abaki chama fulani? Chama kiachwe kijiendeshe kwa katiba yake na kusimamia miiko na maadili yake. Hii ni sawa na kulazimishwa kuoa mke...
Mimi naomba wanasheria wanisaidie,! Hivi mahakama inaweza kuingilia shughuli za chama ambacho kipo kisheria na kinajiongoza kwa katiba yake? Kwanini mahakama isiache chama kisimamie miiko na maadili yake? Naomba wanasheria wanipe jibu napata shida sana ni sawa na mtu anayelazimishwa kumuoa mke...
Kweli nimeamini mwisho wa magamba umefika. Kama matusi ndio sera!! Hivi watoto wa Lusinde wakisoma hizi habari wanajisikiaje? Au hana watoto? Shame on him!!!!
Hapa mimi naona serikali ingewasikiliza madaktari ili kupata muafaka. Wanaoteseka ni watanzania ambao waliwachagua wabunge wanaofurahia posho bungeni. Jamani Serikali iwasikilize madaktari
By IVETA jamani hii ziyo siasa! hata mheshimiwa mbunge hajazikwa, tayari vurugu zimeshaanza kutokea kuhusu mgombea wa nafasi aliyoiacha wazi huko aru meru mashariki! kisa hikikilitokea ijumaa mjini moshi pale baada ya tuhuma kutolewa dhidi ya katibu wa chadema mkoa wa kilimanjaro bazil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.