What are you trying to portray here you nuts!! my church has been burnt down I got nowhere to worship and you are coming with empty nothings!! Go to hell with your dogmas!!
Unayetoka mapovu ni weye!!
tHatuwahitaji tena this is stupidity kuendelea kuwavumilia kwa muungano wa hasara!! muende mujiunge na wajomba na wanaume wenu wa OMAN/Muscat it is no longer our business!! Ndugu wabara mnaoishi huko waachieni njooni haraka!! wana mpango mkubwa zaidi. Kuna muungano wa...
Acha uongo mtu mzima!! hali yoyote vurugu za znz huanzia kwa mashambulizi au ya makanisa au wabara!! nilikuwepo na ujambazi wote znz unahusishwa na "mijitu ya bara"
Ifike mahali tunene bila kumungunya maneno wazanzibar wanataka kuwa peke yao na uislamu pekee na kupractice Sharia law...
Mbaazi ikishindwa kutoa maua husingizia jua!!
Kila wakati binadamu anatakiwa awe na ustaarabu wa fikra. Mawazo ya kutumwa au kutumiwa huharibu UTU wa mtu hata angekuwa msomi. Nini maada ya thread hii for heaven's sake!!
Nimeishi kusini miaka 10 na lindi mjini ndiyo nimeishi zaidi nikiwa nafanya kazi katika mashirika ya kimataifa vijijini. Nilishuhudia umaskini wa kutisha na mawazo mgando yaliyolalamika daima "sisi watu wa kusini tumeachwa, kuanzia kung'oa reli" hadi ukosefu wa barabara. Nimeshuhudia wanafunzi...
Ushauri wa bure kwa CDM wenzangu.
Wawe makini na Jitu nene CCM linalokata ROHO. Linatapatapa, linakamata kila kitu, linauma hata godoro linalofia! Wana M4C kuweni mbali nalo ukikaa karibu likikung'ang'ania litakuua au mateke ya kukata roho yatakumaliza KAA CHONJO SAA MBAYA!!
Mkuu Kengemumaji
Kinachogomba hapa siyo hiyo globalisation unayoipigia debe. Ni upeo wa viongozi kuingia kwenye mahusiano yenye faida. Ardhi ni raslimali isiyooza. Uwekezaji unatakiwa umakini na umahiri wa kuangalia maslahi ya wenye mali. Kuingia mikataba isiyo na tija kwa wavuja jasho wenye...
Membe mnatuficha wewe na JK ndugu wa DAMU. Tunaelewa mamake Kikwete ni mama yako pia.
Tukikuchagua tutakuwa tumechagua msanii namba mbili!! HATUKUHITAJI JOKA LA MDIMU.
UMEMALIZA UCHAFU WAKO hapa!? unataka ujibiwe vipi na nani au wewe ni POLICCM?
Hii inajulikana kwa sababu Jeshi la kulinda amani ya watanzania wote linaposimamia maslahi ya chama kilicho madarakani tena chama chenyewe cha majambazi wapenda haki wote watakuwa matatani. POLICCM wanajua wanachofanya...
GRRRRRRRRRRRRRR!!! Wewe ni nani kutoa maelekezo kwa CDM. close your masaburi!! please. Ndiyo JK anaweza kuzuiwa na UMMA wa Atown au popote pale. Si wao ndio waajiri wake. Mnakaa kuanza kutoa woga na kulamba miguu ya waajiriwa wenu BUUREEE! Crazy! Ni wapi umesikia CCM wakiomba radhi kwa niaba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.