punguza udomo zege mkuu, mwanamke mzur ni yule unaemwambia unampenda by the time umemtazama na kuangalia reaction zake, sio unaandika maneno meeengi kumbe muoga wa warembo, ukifanikiwa hilo lete mrejesho.
Mkuu umejenga vyema mada yako, lakin hayo yote yataondoka baada ya kumpata spika hasiyekuwa na mahaba na serikali au chama chake, ukiwa na spika kama 6, Anne, na naibu spika Ndugai usitegemee kitakachobadilika.
acha udomo zege braza yaan mademu wote mtaan unashindwa kuwa convince mpaka unaweka namba yako kwenye mtandao nimekudharau sana au wewe n team vibamia nini?!
mkuu umenifanya nitabasamu kiana, lakini kama dr ana ushahidi si ndio muda muafaka wa kwenda mahakaman, vinginevo EL ndie shujaa adi sasa tujiandikishe tumpe kura zote za ndio.
Mkuu, nadhani kuwa hai ni vizuri zaidi kuliko kulipa uhai na fedha, hivi wanajeshi wetu ndio waliokufa tu? kama ndivyo kwa nini wasiwe nawa nchi nyingine au kuna tatizo katika jeshi letu kwa sababu wengine wapo mtwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.