Search results

  1. N

    "shikamoo" nchini kenya

    Lugha ya Kiswahili imechukua (sio kukopa) maneno mengi toka Lugha ya Kiarabu na kufanya sehemu ya utamaduni wake. Shikamoo ni moja ya maneno yenye asili ya Kiarabu. Bila kujali sana maana yake, ni sehemu ya utamaduni wa Lugah ya Kiswahili. Hakuna neno lolote jingine la Kiswahili lenye hadhi na...
  2. N

    Misemo ya Kizamani

    Basi haya...tutakuja kuyafix baadae Mambo Tukinaa Nimewaka ile mbaya, Nimechalala Stiki/Ganja = Bangi Tinabuu Mche = Sigara Kifaru/Kimwaga = Mtu wa matumizi/matanuzi
  3. N

    Jipatie Nakala yako: Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania by Nyerere

    Mkuu ahsante sana kwa nakala hii, kwani hata mimi nilikitafuta sana hadi nikakata tamaa. Niliambiwa nikamuone Mwandishi mmoja maarufu Joseph Mihangwa angeweza kuniazima chake japo nikipige kopi. Lakini sas doh, mkuu ametusaidia wengi
  4. N

    minyoo kwa watoto wadogo

    Hakika haya ni maelezo ya kitalaam sana
Back
Top Bottom