Nyumbu huwa mnajijaza uongo kuwa ukwel mm nilijua tunaambizana ukwel kumbe ni joke's tu hapo sawaa kwel bukoba imeendelea Tanzania nzima au mnasemaje nyumbu kama nyumbu🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 chai bora ipo available nchi nzima haya bukoba kuna chai gan inayojulikana dah mbk hapo ctabishana tena naona tunaleta...
Iringa ina lima chai tz nzima ina kiwanda cha chai kikubwa nchini ina kiwanda cha maziwa kikubwa nchi nzima na ndo lango kuu la utalii iringa ndo mkoa unaozalisha mbao tz nzima sasa utafananishaje na hivyo vibandali vinavyopokea boti mbili kwa mwezi na kuhusu makanisha hiyo sio maendeleo ni...
Huna hoja ya kueleweka na hutaweza kuelewa kamwe endelea kujifariji na picha tu na sio uhalisia mtu yoyote mjinga kwa picha tu ataamn kijiji cha bukoba kimeendelea ila akichunguza atagundua sumbawanga na songea zipo juu ya bukoba
Yani wew huna akili sasa mlivyosema rami mbk kijijin mlikuwa mnajua vijiji gan acha kujitoa akili nyumbu wew jiwe aliwasaisdia nyumbu wenzake ila bdo yamezubaa kiakili kazi kuzaliana kama panya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.