House for sale dar es salaam 0712656606
Eneo: Kigamboni kibada block 15
Bei: Milioni 150 ikikamilika milioni 120 kama ilivyo.
Ina hatimiliki na kiwanja kimepimwa
Size : square meter 708
Ni nyumba kubwa ya vyumba vitatu viwili master bedroom, kimoja single bedroom,kuna sittingroom,dinning...
House and plot for sale dar es salaam 0712656606
Eneo: kigamboni kibada block 15
Bei: millioni 150 ikikamilika
Millioni 120 kama ilivyo.
Ina hatimiliki na kiwanja kimepimwa
Size : Square meter 708
Ni nyumba kubwa ya vyumba vitatu viwili master bedroom, kimoja single bedroom,kuna...
handbag za kina dada zinapatikana kwa bei nafuu na pia tunapokea order kama kuna mtu anahitaji handbag, simu yako ndo inahusika kama unahitaji tutakuletea mpaka ulipo, piga 0712656606 or 0714466356.
Anasema kuwa kuna tuhuma nyingi zimekuwa zikirudiwa rudiwa sana kwanza ubinafsi pili anapokea rushwa kukisambaratisha chama; anasema ataelezea tuhuma moja baada ya nyingine
Natamani watuambie wametumia sh kwenye ziara ya obama kuanzia ulinzi, matangazo, usafi na makolokolo yote maana mpaka dakika hii sijajua hyo pesa imetoka kwenye fungu lipi na ilipitishwa na nani na watuambie tutanufaika vipi na ujio wa huyu jamaaa maana vijana wote machinga wamefukuzwa...
Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE:
Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE - YouTube via YouTube
hii link inaonyesha hali ilivyokuwa kabla na baada ya tukio halisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.