aa du....
je kipindi hicho kulikuwa na safari nying za rais...
kipindi hicho sukari ilikuwa 800 saiv 2000
kipindi hicho bia ilikuwa 600 saiv 1800
kipindi hicho soda ilikuwa 350 saiv 600
so kwa hesabu za haraka haraka makusanyo stl ni yale yale
kwa mara ya kwanza toka uhuru wa nchi hii,
mji mdogo wa namanga, longido kati ya mitaa 7 ukawa imeshinda 3
mingine tumeshindwa kwa tofauti ndogo sana.
big up and go on ukawa
saivi tunaona ccm inavamia hoja za chadema hasa katika elimu kama elimu kuwa bure na matatizo ya mikopo.
hivyo napendekeza wapitishe na ile ya bei ya saruji na bati kua 5000
Moyon i fil pain kuona vijana wa chuo chngu wakipotea hv hv kwa kuyashabikia ccm na unyonyaji wao wkt kuna watunguliz wazur ambao walipigania harakat kwa kuonesha njia hd kuhatarisha masomo yao km kaka yng Mafuru,adiel, rafiki na sempemba!
zitto na chadema wameangalia jambo ilo kwa hupana zaidi ndo maana waliwasilisha walivyokusudia na wale ccm waliokua wanashadadia majina yatajwe wana gain na ilojambo katika chaguzi zinazo endelea katika chama chao. hivyo basi zitto kutotaja majina kachukulia jambo kihekima zaid ili kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.