Unasema ana mwili wa kizembe lakini mwenzako anasimamia misingi, hayumbi anapigania haki za watu.
Turidi kwako sasa, una mwili wa gym, umebinuka kiuno, huna unachosimamia zaidi ya kusifia kuwa Bashite na mama wanaupiga mwingi.
TFF waliwaita Yanga na kuwaomba wasndike barua ya kuomba kutoshiriki😂, ili Kombe liende kwa Simba. Azam wenyewe wameagizwa kuchezesha kikosi cha kujaribu wachezaji wasiopata namba siku wakikutana na Simba😂
Acha tu mkuu. Makonda ana team yake na ndiyo wanao control social media za bongo. Wanachofanya hivi sasa ni kama vile wana test mitambo tu.
Nape ni kama wameshakzidi nguvu, ingawa bado ana play smart.
Matatizo mengi ya nchi hii ni ya kimfumo (kikatiba, kisheria, kiutawala na kisera), ili nchi iweze kusonga mbele dawa ni kurudi kwnye drawing board (Katiba isukwe upya).
hizi ngonjera za kuinua watu mnatutangazia kuwa ni manabii na mitume wa zama hizi wakati ubovu upo kwenye mfumo.
Yaani kwa akili zako zilivyo ‘ndogo’ unataka vyombo vya habari na social media viache ku report habari za Makonda eti zika report habari hizo!? Upo serious kweli au unatania tu?
Wanyama huwa wana Fyrana sana, Twiga (Nembo ya Taifa) wenyewe 90% ya madume yake hu Fyrana, halafu kuna Simba, wenyewe huwa wana tabia ya kupozana kisela pale wanapokuwa na nyege. Mara nyingi hupandana kwa zamu. Ndiyo maana masela wengi siku hizi wanajiita Simba…michezo ya gizani
Hoja yako ambayo unaitumia kwamba alikuwa akiheshimu Katibu anafia hapo.
Kama alitamka hadharani kuwafukuza wabunge watakao watangaza wapinzani walioshinda, akavuruga uchaguzi hadharani, na hakuwahi kuomba radhi, unawezaje kumuweka maneno mdomoni kwamba alimuita Ndugai akamkatalia kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.