Huyo kocha mbobevu hakupatia mafanikio yake Yanga tu, mkoba wake una kombe la shirikisho alilochukua akiwa na As Leopard ya Congo, timu aliyoikuta ikiwa haina mafanikio yoyote ya mashindano ya Afrika...
Kushindwa kwake kwenda makundi hakumaanishi kwamba uwezo umeisha kutokana na hiyo imani yako...
Bingwa wa kujichanganya, ulipo unawahukumu Marumo na USM Alger kwa kutumia misimamo ya ligi zao, umeonyeshwa wababe wako wanavyo buruzwa kwenye ligi umegeuka kukataa misimamo ya ligi kuwa kigezo[emoji23]
Wanateswa sana na mafanikio ya Yanga, msimu uliopita wakati Simba wanacheza shirikisho wachambuzi hao hao walisema Yanga hawana timu ya kucheza mashindano ya caf
Sasa wapo shirikisho na wanapata matokeo kwa kuwazidi wapinzani wao kila idara, hata mechi walizopoteza bado waliweza kumiliki dimba...
Timu mbovu tuliiona jana ikipelekewa moto na Dodoma jiji mpaka wanaomba mpira uishe.
Yanga ni kawaida yao kupata kagoli kamoja kisha wanauchezea mpira, maana Wanakuwa na uhakika kwamba washamkamata mpinzani kila idara na hana tena madhara kwao.
Mashabiki wao wanaangalia mpira huku wanakunywa...
Angechagua njia ya kuununua mkataba sidhani kama kungekuwa na vikwazo, tatizo limekuja baada ya kutaka kuvunja mkataba. Kuvunja mkataba siyo jambo rahisi kama mnavyolichukulia, kuna vigezo na masharti ambavyo lazima vifuatwe
Ndugu uwezo wako wa kupambanua mambo upo chini sana. Yanga wameingia gharama kubwa sana kumfikisha Fei hapo alipo, haiwezekani aondoke kihunihuni tu.
Kama kapata malisho bora awaambie hao wanaomtaka wakakae mezani na Yanga, nina imani utaratibu ukifuatwa ataondoka kirahisi tu maana yeye siyo...
Wanao ifahamu reli wanajua kwamba biashara kubwa ipo Kigoma. Mpaka sasa reli ya kati inategemea zaidi mizigo na abiria wa Kigoma kuliko Mwanza
DR Congo na Burundi tegemeo lao kuu ni reli ya Kati, kwa maana hiyo uamuzi wa kupeleka SGR Kigoma ni sahihi
Aliyekuambia alikudanganya, SGR itafika Tabora, Mwanza na Kigoma. Kipande cha Dodoma kwenda Tabora ujenzi unaendelea, Tabora kwenda Kigoma mkataba wa ujenzi umesainiwa juzi.
India ni moja ya mataifa yenye mtandao mrefu zaidi wa reli duniani ikiwa na jumla ya km 65000, katika mtandao huo mrefu kuna track gauge za upana tofauti, zipo Broad gauge, Narrow gauge, Standard gauge na Meter Gauge. Reli zote hizi zinafanya kazi hazijatelekezwa, baadhi ya maeneo yaliyokuwa na...
Hapo tatizo siyo serikali, tatizo ni wewe na watanzania wengine kutokuwa na taarifa sahihi. Taarifa zinatolewa lkn vichwani mnakuwa na za kwenu toka vyanzo visivyoeleweka, mwisho wa siku mnajikuta mmeshindwa kuookea taarifa mpya.
Kwa kukusaidia ni kwamba
Mpaka sasa mabehewa yaliyokwishafika ni...
Enzi hizo unazo sifia zilikuta mabehewa haya yakiwa mapya, yalinunuliwa na Kikwete toka Korea kusini, kwa bahati mbaya enzi hizo zilikuja na bana matumizi ya service. Bila huduma hakuna chombo kitakacho dumu.
Kuna mabehewa na vichwa vya treni vilinunuliwa enzi za mwalimu miaka ya sabini huko...
Mpango toka awali (Mwakyembe akiwa waziri wa uchukuzi) ulikuwa kununua locomotive 24 za series uliyotaja, na mpango ilikuwa zije kwa awamu mbili, awamu ya kwanza zingekuja 13 kisha zingefatia 11, 13 za kwanza zilikuja mapema 2015 wakati wa awamu ya mzee wa Msoga, batch ya pili ya vichwa 11 ikaja...
Unafahamu kwamba vichwa na mabehewa yanayotumika sasa kwenye mgr wakitaka yatumike kwenye sgr inawezekana? Watakachofanya ni adjustment tu. Hilo limekuwa likifanyika miaka mingi, mfano miaka miwili iliyopita trc walikuwa wanafanya ukarabati mkubwa wa mgr, kazi ile walipewa wachina, mabehewa...
Rais aliposema tunanunua behewa used alikuwa sahihi, ni kweli toka 2020 trc iliingia mkataba na kampuni ya eurowagon wa kuleta mabehewa used toka Ujerumani, ukatokea mgogoro wa kimkataba na kuuvunja.
Wakati huo huo trc waliingia mkataba na kampuni nyingine ya Kikorea kununua mabehewa mapya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.