Search results

  1. jahnjez

    Fyatu mfyatuzi na kutengua aliyetaka kunizidi Kete

    Mafyatu tushafyatuka ukileta ufyatu tunakufyatua, kama mafyatu tunamuelewa sana, poleni walamba asali kuona buyu lageuka shubir. Ngoma Inogile
  2. jahnjez

    Dark days 17/03/20...

    Ndio Mkuu
  3. jahnjez

    Dark days 17/03/20...

    Kwa nini isiwe serikali moja?. Kero zitakuwepo tu hata pawe na serikali saba Taifa la Afrika limegawanywa vipande vipande huku kila kipande kikiwa na serikali yake iliyo tofauti na kipande kingine. Ikiwa ni moja wote tukaongea lugha moja, tukaelewana ule umoja ambao ndio nguvu ya kushinda...
  4. jahnjez

    Umefika Muda Serikali itutumie vijana kutoka Tarime ili kukomesha Masuala ya Uhalifu kwenye baadhi ya Mikoa

    Keno Nke Pia namkumbuka miaka hiyo 2014's iv kama skosei...alikuwa ana mguu wa KUKU, anakuuliza swali ukijichanganya kujib hutaskia Paaa!
  5. jahnjez

    Nashauri shule zote zifutwe ili kukuza ajira

    Na iwe ivyo, tunatumia ghalama kubwa kujenga majengo mengi wakat vituo vya polisi vipo. Badala ya kukimbizana mtaani na kuhifadhi vibaka na wavuta bangi kwny selo zao, sasa ni muda polis nao wabadilishiwe majukum. Sioni kama jukumu walilonalo kwa sasa linawafaa.
  6. jahnjez

    Nashauri shule zote zifutwe ili kukuza ajira

    Sio lazima tusomee shuleni, hata vituo vya polisi vinaweza kufanywa kuwa maeneo ya mafunzo na polisi wakawa walimu. Waalifu wote wakafundishwa kwa lazima na kupewa ajira kama kifungo kulingana na kosa. Shule zikifungwa madarasa yana matumizi mengi mengine, kama kuwapangisha wazawa wasio na...
  7. jahnjez

    Dark days 17/03/20...

    Hahaha eti mkeo. Inavyoonekana Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa kindugu zaidi kuliko kisheria. Sa zingine sheria inaweza kukutenga na ndugu zako lkn upendo hauwezi. Hii ndo sababu wakasema tudumishe Muungano wetu kwa ghalama yoyote ile. Sasa linapokuja swala la ghalama wengine bado...
  8. jahnjez

    Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

    Sio kumpinga Mungu, Mungu Ni Upendo, haupingiki, hapa ni kupinga Imani potofu.
  9. jahnjez

    Ukimya wa Vyombo vya Usalama juu ya Sakata la Bandari

    True, akianza mambo ya siasa anakuwaga na side. Anapoteza test yake.
  10. jahnjez

    Dark days 17/03/20...

    Story teaser ...?[emoji3] by using roman letters
  11. jahnjez

    SoC02 Wanaangamia kwa kukosa maarifa

    Uzi wa Maana Sana
  12. jahnjez

    Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

    Mimi Siishi London ila Nina uwezo wa kuishi London, japo sitamani Sina Dini Nina Imani Nina elimu kubwa ya Ufahamu Maishani Amani na furaha usitegemee wakati wote, taabu na karaha hazikosi safarini Ajuaye Hitaji lako ni Mwenyezi pekee, ingawa Moyo wako unatamani Wa Aina flani Mtoto ni...
  13. jahnjez

    Magenge ya Radio FM (leo naanza na Radio Wachafu na Radio Mbinguni)

    Well Said.... , Ngoja tuwavumilie japo inakera jins wanavyo destroy generation.
  14. jahnjez

    Rost-Time kaingia, anga limechafuka ghafla, majanga mfululizo

    Huyu fanani kwa fasihi katuma barua kwa hadhira
  15. jahnjez

    Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

    Ni kweli yupo Gerezani kifungo cha nje, ndio maana wapiga vyombo wanajipigia watakavyo, Hali imekuwa kero kwa waumini japo kuwa ndio wanatoa sadaka, Soma kwa kukodoa
  16. jahnjez

    Dark days 17/03/20...

    Uandishi Makini Sana, Sanaa na UBUNIFU uliotumika, wala hauchoshi... Hongera
  17. jahnjez

    Dark days 17/03/20...

    .
Back
Top Bottom