Shida yako wewe umeangukia kwa WALIOJICHUBUA, weupe wewe hujakutana nao bwana mdogo. Nenda Marangu ukapewe kitu full white, achana na akina Mwamvita wa Kigogo
Sio KULUDI ----- wewe, sema KURUDI.
Kwa mtu wa akili na uelewa wako ili mbunge awe wa maana analazimika kuwa anawatembelea nyumbani kwenu wakati a mfungo na kuwapa futari.
Tunataka wabunge wakali wanaotoa hoja nzito bungeni sio kutuahidi barabara. Serikali yoyote makini lazima ijenge barabara...
Hiki kinachofanywa na CCM kikifumbiwa macho na NEC huku wazee wa INTELIJENSIA nao wakiwa kimya kikifanywa na upinzani hakitaitwa KAMPENI KABLA YA MUDA?
Siasa si kazi yangu, wasiwasi wangu amani yetu kama Taifa. Wenzetu wanaopigana hawakuzaliwa na wrinkles, n matokeo ya double standards na uonevu.
Kweli wastaarabu, sehemu ya kukalia kwenye kivuko nyie mnaweka miguu na pa kuegemea ndio mnakaa. Nitawavumilia for a while maana muda si mrefu mtaanza kupiga mbizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.